KARIBU KWENYE BLOGU YA BAWA

Toa maoni, ushauri, habari, mapendekezo n.k. katika kuboresha BAWA.

Bonyeza sehemu iliyoandikwa comment/maoni kila baada ya post na kisha andika ujumbe wako.

Asante kwa ushirikiano wako.

Wednesday, July 20, 2011

Kumbukumbu ya Mama Asteria Kokutona Kilaini

WanaBAWA tunaungana na Baba Askofu Method Kilaini katika kumbukumbu ya Marehemu mama Asteria Kokutona Kilaini iliyoadhimishwa kwa namna ya pekee leo huko kwao Katoma parish.



Pichani: Baba askofu Method Kilaini akiweka mshumaa kwenye kaburi la mama yake 
mpendwa Asteria Kokutona Kilaini mara baada ya ibada ya Misa ya kumwombea
aliyoiongoza yeye mwenyewe akishirikiana na Mhashamu Nestor Timanywa, 
Askofu wa Bukoba, Mhashamu Almachius Rweyongeza, Askofu wa Kayanga
pamoja na Mapadre wengi.

No comments: