KARIBU KWENYE BLOGU YA BAWA

Toa maoni, ushauri, habari, mapendekezo n.k. katika kuboresha BAWA.

Bonyeza sehemu iliyoandikwa comment/maoni kila baada ya post na kisha andika ujumbe wako.

Asante kwa ushirikiano wako.

Sunday, July 10, 2011

Hongereni Nuncio Novatus Rugambwa na Msgr. Gosbert Byamungu

Tunawapongeza wanaBAWA Nuncio Novatus Rugambwa na Msgr. Gosbert Byamungu ambao mwaka huu wanaadhimisha Jubilei ya Miaka 25 katika Upadre. Tunawaombea Mungu awadumishe katika kumtumikia yeye pamoja na watu aliowakabidhi. Haya ni  baadhi ya matukio katika mojawapo ya mfululizo wa sherehe za kuwapongeza iliyofanyika tarehe 10.07.2011 katika parokia ya Rubya, anakozaliwa Msgr. Gosbert Byamungu.


No comments: