KARIBU KWENYE BLOGU YA BAWA

Toa maoni, ushauri, habari, mapendekezo n.k. katika kuboresha BAWA.

Bonyeza sehemu iliyoandikwa comment/maoni kila baada ya post na kisha andika ujumbe wako.

Asante kwa ushirikiano wako.

Sunday, December 25, 2011

Heri ya Krismas


Tunawatakia wanaBAWA na wote wanaofuatilia hii blog yetu heri na baraka za sherehe hii ya kuzaliwa Bwana.

Sunday, December 11, 2011

Hongera sana Pd. Remigius Rutashubanyuma

Wanaparokia ya Buyango, Jimbo Katoliki la Bukoba, wanayo furaha kubwa kumpokea padre mpya Pd. Remigius Rutashubanyuma mzaliwa wa parokia hiyo aliyepewa daraja la Upadre leo katika Kanisa la Parokia hiyo. Zifuatazo ni picha za kumbukumbu katika tukio hilo muhimu.











Sunday, December 4, 2011

Hongera sana Pd. Samuel Muchunguzi

Ilikuwa furaha na nderemo katika parokia ya Kishogo, Jimbo katoliki la Bukoba alipopadrishwa aliyekuwa Shemasi Samuel Muchunguzi siku ya leo. Zifuatazo ni baadhi ya picha za matukio katika sherehe hizo za Upadrisho wa Pd. Samuel Muchunguzi.













Saturday, December 3, 2011

Hongera Sana Pd. Prophilio Mulokozi

Leo Parokia ya Bukoba, Jimbo Katoliki la Bukoba, imebarikiwa kumpata Padre mpya mzaliwa wa Parokia hiyo. Mh. Padre Prophilio Mulokozi Hongera sana. Zifuatazo ni picha kadhaa katika tukio hilo la Upadrisho huo.