KARIBU KWENYE BLOGU YA BAWA

Toa maoni, ushauri, habari, mapendekezo n.k. katika kuboresha BAWA.

Bonyeza sehemu iliyoandikwa comment/maoni kila baada ya post na kisha andika ujumbe wako.

Asante kwa ushirikiano wako.

Tuesday, January 25, 2011

Hongereni Mafrateri


Tunawapongeza Mafrateri wanaBAWA
Frt. Deodatus Katunzi (wa pili kutoka kulia) na Frt. Evodius Mwijage (wa tatu kutoka kulia) waliopewa huduma ya utumishi (Acolytes)
Pamoja na Frt. Viator Mujuni (kulia) na Frt. Philbert Mutalemwa (kushoto) waliopewa huduma ya Usomaji (Lectors) leo tarehe 25/01/2011
na Mha. Salutaris Libena, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam.
Tunawatakia kila la heri katika kutimiza majukumu yao.
MWAIHYUKA MUNO!

Saturday, January 1, 2011

HERI YA MWAKA MPYA

Kwa wanaBAWA na wote wenye mapenzi mema. Tunawatakia heri na fanaka katika mwaka huu mpya 2011. Mwaka uliopewa jina "TONGANA". Tunawaomba wote watakaoweza kuchangia mang'amuzi mbalimbali kuhusu jina hili na mwaka huu kwa ujumla wachangie maoni yao. Hii ni katika kuelimishana.