KARIBU KWENYE BLOGU YA BAWA

Toa maoni, ushauri, habari, mapendekezo n.k. katika kuboresha BAWA.

Bonyeza sehemu iliyoandikwa comment/maoni kila baada ya post na kisha andika ujumbe wako.

Asante kwa ushirikiano wako.

Sunday, December 4, 2011

Hongera sana Pd. Samuel Muchunguzi

Ilikuwa furaha na nderemo katika parokia ya Kishogo, Jimbo katoliki la Bukoba alipopadrishwa aliyekuwa Shemasi Samuel Muchunguzi siku ya leo. Zifuatazo ni baadhi ya picha za matukio katika sherehe hizo za Upadrisho wa Pd. Samuel Muchunguzi.













No comments: