KARIBU KWENYE BLOGU YA BAWA

Toa maoni, ushauri, habari, mapendekezo n.k. katika kuboresha BAWA.

Bonyeza sehemu iliyoandikwa comment/maoni kila baada ya post na kisha andika ujumbe wako.

Asante kwa ushirikiano wako.

Friday, December 24, 2010

Planned Event by Bishop Nestor Timanywa

Baba Askofu Nestor Timanywa anawaalika wana-Bukoba wanaoishi nje ya jimbo washeherekee naye Christmas tarehe 27 Desemba 2010, Jumatatu.

RATIBA:


Ibada ya Misa saa 4 Asubuhi
Mlo wa sikukuu
Burudani ya Bukoba (KAKAU) hadi jioni

Nia ni kusali pamoja, kuongea, kujuana ili kushirikiana na kusheherekea.

Kuchangia gharama ni Tsh. 25,000/- tu kwa kichwa.
Itafanyika Balamaga – Kolping Hotel. Usafiri utakuwepo kutoka na kurudi mjini na bandarini kwa meli.

NB. Patakuwepo na children’s corner kwa watoto. Anayetaka malazi yanapatikana hapo Kolping Hotel, book. Vinywaji baridi vitapewa, (na vinywaji moto bar itakuwepo).

Nafasi ni 250 tu fanya booking yako mapema kwa:

Askofu Method Kilaini
Tel. +255713262836; +255756146449
e-mail: mkilaini@gmail.com

Fr. Adeodatus Rwehumbiza
Tel. +255783176303
e-mail: b.officebk@yahoo.com

au: Mr. Venant Mpanju
Coordinator Kolping Tanzania
Tel. +255713220953
kst@kolpingtanzania.com

No comments: