KARIBU KWENYE BLOGU YA BAWA

Toa maoni, ushauri, habari, mapendekezo n.k. katika kuboresha BAWA.

Bonyeza sehemu iliyoandikwa comment/maoni kila baada ya post na kisha andika ujumbe wako.

Asante kwa ushirikiano wako.

Sunday, December 5, 2010

Hongera Padre Erick Muganyizi na Padre John Philip Karumuna



















WanaBAWA tunaendelea kumshukuru Mungu kwa kutujalia mapadre wapya wengine wawili waliopadrishwa leo huko parokiani Kagondo na Mha. Nestori Timanywa, Askofu wa Jimbo la Bukoba.
Fr. Erick na Fr. John Philip waitu baihyuka muno!

No comments: