KARIBU KWENYE BLOGU YA BAWA

Toa maoni, ushauri, habari, mapendekezo n.k. katika kuboresha BAWA.

Bonyeza sehemu iliyoandikwa comment/maoni kila baada ya post na kisha andika ujumbe wako.

Asante kwa ushirikiano wako.

Saturday, November 26, 2011

MHASHAMU BABA ASKOFU GERVASE NYAISONGA( JIMBO LA DODOMA) ATOA HUDUMA ZA USOMAJI NA UTUMISHI ALTARENI KATIKA SEMINARI KUU YA MT PAULO - KIPALAPALA








Mafrateri 18 wa Mwaka II wapewa Huduma ya Usomaji(Lectorship) na 19 wa Mwaka III Utumishi Altareni(Acolyte).
Kwa Upande wa BAWA-Mafrateri, Almachius Rwejuna amepata huduma ya Usomaji, Philbert Mutalemwa na Viator Mujuni wamekuwa Watumishi Altareni. Tunamshukuru Mungu kwa hatua hii walioifikia Mafrateri wetu na tunawaombea Wito Kamilifu.

2 comments:

Emmanuel Kamugisha said...

Waitu mwaihyuka muno!

Thomas Ishengoma said...

Mdumu katika wito mlioitiwa na Bwana